WAFANYAKAZI SEKTA YA MAWASILIANO WATAKIWA KUIMARISHA UCHUMI SHINDANI WA KIDIGITALI
Na Barnabas Kisengi, Dodoma Katibu mkuu Wizara ya Habari, mawasiliano na teknolojia ya Habari Jimmy Yonazi amewataka wafanyakazi wa sekta ya mawasiliano nchini kukuza maarifa na kuwa na uchumi shindani wa kidijitali ili kuwa kitovu cha watu kujifunza namna ya kutafuta fursa katika taasisi za kimataifa. Akizungumza leo jijini Dodoma katika kikao kazi cha uchambuzi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed